WINNERS
Picture Gallery Send us feedback
Washindi 2006

Sherehe za kuwatunuku washindi wa tuzo za Kilimanjaro Premium Lager Tanzania Music Awards zilifanyika siku ya Jumamosi tarehe 03 Juni, 2006 kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza kwa kutunuku tuzo hizo na burudani mbalimbali.

Yafuatayo ndiyo majina ya makundi/wasanii walioibuka kidedea usiku huo:

AINA YA TUZO JINA LA MSHINDI
Hall of fame Hayati Marijani Rajabu
Wimbo wa Mwaka Nikusaidiaje (Prof. J)
Mwimbajie Bora wa Kiume Hassan Rehani Bitchuka
Mwimbaji Bora wa Kike Sabbah Salum Muchacho
Mwanamuziki anayechipukia Jocelyn
Mwandikaji bora wa Muziki Mzee Yusuf
Mtunzi bora wa Muziki Hayati TX Moshi William
Mtayarishaji bora wa Muziki P. Funk
Mtayarishaji bora wa Video Empty Souls
Mwanamuziki bora wa Kanda (Nyimbo za Asili) Yange Yange Arts (Dodoma)
Mwanamuziki bora wa kanda (Bongo Fleva) Masela Camp (Arusha)
Albamu bora ya Afrika Mashariki Chukua (Longomba's, Kenya)
Wimbo bora wa Asili Thamini Chako (Mbega Arts, Bagamoyo)
Wimbo bora wa Kiswahili (bendi) Ajali (Msondo Ngoma)
Wimbo bora wa Taarab Langu Jicho (Zanzibar Stars)
Wimbo bora wa Zouk Siwezi Sema (Deo Mwanambilimbi)
Wimbo bora wa R&B Waja (MB Dog)
Wimbo bora wa Reggae / Ragga Ni Wewe (Hard Mad )
Wimbo bora wa Hip Hop Mwanza Mwanza (Fid Q)
Albamu bora ya Asili Nyamala Mwanangu (Olduvai Band)
Albamu bora ya Kiswahili (Bendi) Safari 2005 (African Stars)
Albamu bora ya Taarab Sitaki Ushambenga (TOT)
Albamu bora ya Hip-Hop Mwanafalsafa (Unanitega)
Albamu bora ya RnB Usinicheke (Keisha)

 

 

 
Designed and powered by INFOCOM TECHNOLOGIES LTD.