MUNDUGWAO, HAFSA WATAMBA TUZO ZA KILI MWAKA 2007
MSANII Che Mundugwao akiwa na kundi la Mbega Arts, juzi aling’ara katika Tuzo za Muziki za Kilimanjaro 2006/07, baada ya kuwa msanii pekee aliyeshinda tuzo mbili katika sherehe zilizofanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Mbali na Mundugwao, wasanii wengine waliotamba katika tuzo hizo ni pamoja na Hafsa Kazinja, Rehema Chalamila ‘Ray C’.................
|