Sherehe za kuwatunuku washindi wa tuzo za Kilimanjaro Premium Lager Tanzania Music Awards 2008 zilifanyika siku ya Ijumaa tarehe 28 June 2008, ndani ya Hoteli ya Kempinski kwa kutunuku tuzo hizo na burudani mbalimbali.
Yafuatayo ndiyo majina ya makundi/wasanii walioibuka kidedea tarehe 28 June 2008
AINA YA TUZO |
JINA LA MSHINDI |
| |
|
| Mwimbaji Bora wa Kike |
Judith Wambura |
| Mwimbaji Bora wa Kiume |
Marlaw |
| Albam Bora ya Taarab |
Raha ya Mapenzi (Zanzibar Stars) |
| Wimbo Bora wa Mwaka |
Bembeleza (Marlaw) |
| Wimbo Bora wa Kiswahili |
Kuachwa (Khalid Chokoraa) |
| Albam Bora ya Kiswahili (Bendi) |
Mtaa wa Kwanza (African Stars) |
| Wimbo Bora wa RnB |
Cinderella (Ali Kiba)
|
| Wimbo Bora wa Asili ya Kitanzania |
Itumba Mbwembwe
|
| Alba Bora ya Asili ya Kitanzania |
Kisiwa cha Ukerewe (Malima Mjinja & Maringo Band)
|
| Wimbo Bora wa Hiphop |
Ni Hayo Tu (Fid Q)
|
| Wimbo Bora wa Reggae/Ragga |
Kati Yetu (Besta Rugeiyamu)
|
| Msanii Bora wa Rap |
Chidi Benz
|
| Wimbo Bora wa Afrika Mashariki |
Banjuka (DNA - Kenya)
|
| Mtunzi Bora wa Muziki |
Mzee Yusuph
|
| Mtayarishaji Bora wa Nyimbo |
Makochali
|
| Mwandikaji Bora wa Nyimbo |
Mwana AF
|
| Mtayarishaji Bora wa Video |
Empty Souls Production
|
| Wimbo Bora wa Zouk |
Mbali Nami (Bushoke)
|
| Wimbo Bora wa Kushirikiana |
Habari Ndio Hiyo (AY & Mwana FA)
|
|