Tanzania Breweries Limited
Tanzania Breweries Ltd.
50 Years of Uhuru

Viongozi wa Yanga na Simba wakabidhiwa vifaa vya michezo

January 2012

Mkurugenzi wa Mahusiano wa kampuni ya bia ya Kilimanjaro Steven Kilinde akikabidhi jezi kwa Katibu Mkuu wa timu ya Yanga Selestine Mwesigwa katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika ofisi za Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania leo katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Kilimanjaro Bw. George Kavishe

Bw. Steven Kilinde Mkurugenzi wa Mahusiano TBL, George Kavishe Meneja wa kinywaji cha Kilimanjaro, Evodius Mtawala Katibu Mkuu wa Simba

Viongozi wa Yanga na Simba pamoja na TBL wakiwa katika picha ya pamoja baada ya makabidhiano ya vifaa vya michezo kwa timu ya Simba na Yanga.

 

Promosheni ya Kili Back Labels Q&A

Kushiriki katika promosheni ya maswali yaliopo kwenye chupa ya Kili, andika jina kamili na Jibu kisha tuma kwenda No 15723 nasi tutakupigia simu na utakuwa na nafasi ya KUSHINDA zawadi kemkem. Sikiliza Clouds FM kwa maelezo zaidi

 

Bonyesha hapa upate maswali na majibu

Mwisho wa promosheni ni 9 December 2011

« Uso wa tovuti/homepage »

Miaka 50 ya Uhuru
Radio Advert

UHURU TV AD »

Click here
Follow Kili on YouTube